Africa News

kifimbocheza

Please log in to follow this blog in MyGator

Blog description:

a view from dar es salaam

kifimbocheza is ranked:

Africa: 955   |   Tanzania: 22   |   Visits: 639   |   Page Views: 678   |   Links (Blogs): 1836   |   Links (Posts): 1836

Nothing to see here, move along please

Recently, I decided to stop this blog in June or July of this year. That would have been about one year of blogging. There were three main reasons for this. Firstly, it takes time. Believe me, summarising IMF reports or discussing the gini co-efficient in your second language is

Barua ya Wazi kwa Issa Michuzi

Kaka Michu, nisiseme kuwa mimi ni mshabiki wa blogu yako. Lakini ukweli, nimeitembelea mara nyingi. Labda unajua kuwa nimeandika makala kuhusu blogu yako mara moja au mbili. Kama umesahau, bonyeza hapa. Mimi hutembelea kwako kwa sababu naona unavutia watu wengi sana duniani. Na kweli, nakupongeza kwa kazi yako

Bize Politics

Rais Kikwete alitoa hotuba mbili mwezi uliopita. Kwanza, aliongea na Wazee wa Dar es Salaam, Diamond Jubilee Hall. Mwisho wa mwezi, tulisikia hotuba yake ya kufunga mwezi. Alivyosema Rais kwenye hotuba yake kwa wananchi kwa mwezi wa pili, ulikuwa “mwezi wa matukio makubwa ya kukumbukwa kwa

“Nothing found for Jamboforums”

Mambo yanaendelea. Sasa, kwa url ya www.jamboforums.com, utafika kwa jambonetwork.com/jamboforums, lakini ‘not found’. Jambo Blog Network pia imerudi. Na bado wanaendelea kuiba makala za wanablogu na kuzitangaza kwa JBN. Nimeshalalimikia tabia hiyo. Hamna cha kusema tena.

Jambo Forums

Once again, Michuzi was first with the news. The popular discussion board, jamboforums, has apparently been closed down and two individuals arrested. Read more on KLH News here. According to that report, they have been arrested for libel. But as ever with jamboforums, separating truth from fiction is not

Abdulrazak Gurnah: kioo cha taifa

Leo mchana, sote tulisikiliza redio kusikia Rais kutangaza Baraza mpya. “Nani atabaki?” “Nani atafukuzwa?”. Basi, ilitangazwa. Maswali tena. “Unamwonaje Mkulo?” “Jamani Andrew Chenge alikuwa Mwanasheria Mkuu wakati wa IPTL, si ndiyo?!” Leo jioni, nilianza kusoma By the Sea, kitabu kimechoandikwa na Abdulrazak Gurnah. Niliguswa na yafuatayo….. The upper air

Richmond: kioo cha taifa

Je, umeshasoma ripoti ya Mwakyembe? Si unajua jinsi viongozi walivyokula? Dakika arobaini zilizopita, wabunge walikubali uteuzi wa Mizengo Pinda, Mbunge wa Mpanda Mashariki, kama Waziri Mkuu. Walimsifia. Walimpa moyo. Aliwashukuruu. Sitta alifunga kikao kwa mtindo wake. Lakini kumbe, alipewa karatasi kutoka kwa mmoja wao. Mbunge huyo alikuwa na swali…..

Yanga 4 Coastal Union 0

Tumefaidi vizuri jana. Tuliwawajibisha kwa kweli. Soma zaidi hapa. Lakini kwa sababu mbalimbali, ilibidi nikae upande wa Simba. Ni ngumu kunyamaza…..

“Good governance pays”

“Utawala bora unalipa.” Haya ndiyo maneno ya Bw. Bertie Ahern, Waziri Mkuu wa Ireland, kwenye hotuba yake kwa wananchi wa Ireland ambao wanaishi hapa Tanzania. Soma hotuba nzima kwa kubonyeza hapa. Pia, kwenye hotuba hiyo aliwasimulia wageni kuhusu mkutano wake na Rais Kikwete. I commended the President

Kipima Joto IV: madaktari na manesi

Yafuatayo ni matokeo kutoka kwenye Centre for Global Development. Utafiti huu, wa Michael Clemens na Gunilla Pettersson, ulihusiana uhamaji wa madaktari na manesi kutoka Afrika. Matokeo ni ya mwaka 2000 kwa sababu utafiti huo ulilinganisha matokeo ya sensa za nchi mbalimbali. Idadi ya madaktari Tanzania

« previous 1 next »