News
Africa: 23 | Tanzania: 2 | Visits: 7 | Page Views: 11 | Links (Blogs): 182 | Links (Posts): 143
Jenerali Waitara Kustaafu Mwezi Ujao ... General Waitara (L) akiwa katika picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa jeshi la police Tanzania Saidi Mwema na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Mh Rashid Othman Ikulujijini Dar es Salaam.(Picha kutoka Maktaba).MKUU wa ....
Maandalizi ya msiba wa Roy Dallas.Wapendwa wanajumuiya,Kwa niaba ya familia yangu, ningependa kutoa taarifa ya shughuli za maandalizi ya msiba wa dada yetu mpendwa, Roycana Mungai(Roy).Mwili wa marehemu Roy unatarajiwa kuwasili hapa Dallas kutoka Columbus kati ya jumatatu jioni na jumanne.Shughuli za kuaga mwili na maombi zitafanyika Jumamosi ijayo, August 11, mchana. Habari zaidi tutatoa hivi karibuni.Kwa wale ambao watapenda kutusaidia katika gharama za msiba na kusafirisha mwili, tumefungua ....
Zitto... Waziri Mkuu, Edward Lowassa akizungumza na mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma jana. Waziri Mkuu, Edward Lowassa akizungumza na mbunge wa Kigoma Kaskazini , Kabwe Zitto (kushoto) na mbunge wa Kwela Chrisant Mzindakaya (kulia) ....