Africa News

Habari Tanzania

Please log in to follow this blog in MyGator

Blog description:

HabariTanzania.com: Tanzania news and information for a global audience.

Habari Tanzania is ranked:

Africa: 1164   |   Tanzania: 21   |   Visits: 2213   |   Page Views: 2213   |   Links (Blogs): 715   |   Links (Posts): 696

Obama atishiwa maisha

KAMPENI za kuwania kiti cha urais wa Marekani katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, zimepata sura mpya, baada ya mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo kutishiwa kuuawa.

Kama Zanzibar si nchi, Tanganyika ilijiunga na wilaya?

BABA wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikuwa mtu mwenye kanuni ya kujikosoa. Nadhani ni kanuni hiyo iliyomfanya afe akiwa kipenzi cha wote wakiwamo hata wale ambao kwa namna moja au nyingine walibanwa na wadhifa wake.

Tuhuma za ufisadi sasa zaimega Benki ya Posta

TUHUMA za ufisadi ambazo zimesambazwa katika mtandao wa intaneti zikihusu utendaji kazi wa viongozi wakuu ndani ya Benki ya Posta (TPB) na wale wa Wizara ya Fedha, zimeanza kuivuruga benki hiyo.

Richmond yaivua nguo serikali

KAMATI Teule ya Bunge iliyochunguza mchakato wa upatikanaji wa zabuni ya uzalishaji umeme wa dharura, iliyopewa Kampuni ya Richmond Development LLC, ya Hauston Marekani, imemtaja Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kuwa alihusika kuibeba kampuni hiyo kupata zabuni hiyo.

Muafaka waja - JK

MAZUNGUMZO ya kusaka muafaka wa kisiasa visiwani Zanzibar, baina ya Chama Cha Mapinzuzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) yanakaribia kufikia mwisho, Rais Jakaya Kikwete amesema.

Wasomi wamtaka JK kukaza buti kwa mafisadi

WASOMI wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kusimamia kwa ukali na umakini mkubwa ili kuhakikisha watu walioshiriki katika ufisadi uliokithiri katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanarudisha fedha zote zilizoibwa na wahusika kuchukuliwa hatua.

Dk. Slaa: Nina siri nyingine nzito

WAKATI Watanzania wakitafakari hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), Dk. Daudi Balali kutokana na kashfa ya akaunti ya malipo ya madeni ya nje (EPA), muasisi wa tuhuma zilizosababisha uchunguzi wa akaunti hiyo, Dk. Willibrod Slaa, ameibuka na siri nyingine kuhusu tuhuma za

ODM watua Dar

UJUMBE wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) cha Kenya, jana ulinguruma jijini Dar es Salaam na kusema kuwa wanaodhani kuwa wanaweza kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa iliyopendekezwa na Rais Mwai Kibaki wanajidanganya.

JK: Msitishike na shambulio dhidi ya wanahabari

RAIS Jakaya Kikwete, amewataka waandishi wa habari kote nchini, kutokatishwa tamaa au kuogopa vitisho vinavyoelekezwa dhidi yao na badala yake waendelee kutimiza wajibu wao wa kazi kwa kuchukua tahadhari za kutosha.

« previous 1 next »