Full Shangwe

  • John Bukuku

A blog by John Bukuku

Blog description:

full shangwe

Blog Rank:

Full Shangwe ranks 84 in Africa and 3 in Tanzania. According to site visitors it ranks 52, and 68 according to page views:

According to blogroll links it ranks 625 and 458 according to the amount of links within Afrigator blog posts

SIMBA YAWATUNGUA WAZIMBABWE KWAO 3-0 NA KUDHIHIRISHA UBORA WAKE!!

Timu ya Simba leo imedhihirisha ubora wake ndani ya jiji la Harare nchini Zimbabwe baada ya kuikung'uta timu ya Leighthens magoli 3-0 katika mchezo ambao Simba ilicheza kiwango cha hali ya juu wakati timu hizo zilipokutana katika mashindano ya Kombe la washindi barani Afrika.Akizungumza kwa njia ya simu MWANAFULLSHANGWE

Richa Adhia Officially Handed over The Flag!

Hon. Lawrence Maasha Minister of Home Affairs hosted Samsung Miss Tanzania India Richa Adhia at his office at the Ministry on 19 March, 2010 where he handed her The Tanzanian Flag as She represents for the First Time TANZANIA at the 19 Miss India Worldwide Pageant to be Held

SIMBA INAONGOZA KWA GOLI MBILI MPAKA SASA!!

Mpambano kati ya timu ya Simba ya Tanzania na Leigthens ya Zimbabwe unaoendelea kwenye uwanja wa Rufaro jijini Harare huko Zimbabwe ni kwamba Simba inaongoza kwa goli mbili ambazo zimepigwa nyavuni na Mshambulianji Mussa Hassan Mgosi na Kiungo Mohamed Banka kwa sasa ni mapumziko na wakati wowote kipindi cha pili

(EWURA CCC) YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma zanishati na maji EWURA CCC Mhandisi Prof. Jamidu Katima akizungumza nawaandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali kwenye maonyesho ya wikiya maji yanayofanyika kwenye kijiji cha Mwendapole Kibaha Mkoani Pwaniwakati alipozungumzania changamoto mbalimbali zinazolikabili barazahilo katika juhudi zake za kuhakikisha

FULLSHANGWE IKIWA JIJINI HARARE INAKULETEA MOJA KWA MOJA MATUKIO

Kikosi cha Simba kikipasha misuli kabla ya mpambano wake kati yake na timu ya Legthens ya Zimbabwe jijini Harare katika michuano ya kombe la shirikisho yanayoandaliwa na shirikisho la soka barani Africa CAF mchezo huo unachezwa jioni hii na Blogu yako ya FULLSHANGWE ambayo iko katika uwanja wa Rufaro

RAISI KIKWETE AMEMTEUA MEJA JENERALI MSTAAFU LIGATHE SANDE KUWA M

Rais Jakaya Kikwete Na Veronica Kazimoto – MAELEZO.Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Meja jenerali mstaafu Ligathe Sande kuwa mwenyekiti wa Bodi ya chuo cha Bahari (DMI) kwa kipindi kingine cha miaka mitatu. Taarifa iliyotolewa na Katibu mkuu wa Wizara ya Miundombinu Mhandisi

ENERWEB PRE- PAY AFRICA LTD PROMOTING PRE-PAY WATER METERS!!

Mr. Gaston M Francis, Managing Director for EnerWeb Prepay Africa LTD at the Exhibition area.ENERWEB PRE-PAY AFRICA LTD. Intelligent MeterOVERVIEWThe intelligent Water Meter and the supporting Meter Management System (MMS) provides a revolutionary approach to Water Demand Management. The Intelligent Water Meter ensures significant water savings through consumption management with

SAMSUNG MISS TANZANIA INDIA RASMI NA BALOZI WA INDIA NCHINI!!

Balozi wa India Nchini Tanzania K.V Bagirath wa pili kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Samsung Miss Tanzania India Richa Adhia wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika leo jioni nyumbani kwa balozi Oysterbay jijini Dar es salaam, Richa Adhia anaondoka jumapili kwenda nchini Afrika Kusini ambako anatarajiwa kushiriki

Mahakama yathibitisha ushindi wa Rais Gnassingbe!!

Rais Faure Gnassingbe wa Togo.Mahakama ya katiba nchini Togo imethibitisha ushindi wa rais Faure Gnassingbe, kufuatia uchaguzi uliotawaliwa na mizozo mapema mwezi huu.Upinzani ulipinga matokeo ya uchaguzi huo ukidai kura ziliibiwa. Kumekuwa na maandamano katika maeneo kadhaa katika mji mkuu wa Togo Lome, tangu matokeo ya awali ya uchaguzi

MSHINDI WA CHOMOKA NA VESPA ALAMBA ZAWADI YAKE!!

Mshindi wa droo ya kwanza ya Chomoka na Vespa inayochezeshwa nakampuni ya Zantel Bw.Mkombe Juma Hamisi akiifanyia majaribisho Vespa yake.Pembeni ni Afisa Masoko Zantel Zanzibar Bw. Ibrahim Attas.

« previous 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10598 599 next »